Friday, 23 August 2013

DAVIS TEDDY KIZENGA SHUNDI

 
 
 
Binti wa marehemu
 
 
Ni mwaka mmoja sasa tangu ulipotutoka bila ya kutuaga baba yetu mpenzi,Siku ya ijumaa tarehe 24 2012.tumegundua kuwa hatutakuja kupata baba mwenye busara,ucheshi na upendo kama wewe.wewe ni wa pekee,unakumbukwa na mkeo mpenzi,binti zk kadodo,necia, na Mariam.kijana wk Michael.wajukuu bonge na chechi,mama yako,wakwe zako ,ndugu zako wote pamoja na wafanyakaz wenzio wa uhamiaji.Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele ukamwangaze.apumzike kwa amani.tutakupenda daima baba yetu 
DAVIS TEDDY KIZENGA SHUNDI
 
 
BARAGUMU LA MNYONGE
 

No comments:

Post a Comment