Thursday, 8 August 2013

Katiba Mpya

 
 
 
 
 
 
 
 
 
Baragumu la Mnyone

 
 

Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Mpya,

 
 
 
Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Mpya, Jaji Warioba amewajia juu wanasiasa hasa wanaowaambia wafuasi wao waseme nini na mawazo mengine yanatolewa majukwaani kwa utashi wa kisiasa kwamba hawatayajumuisha na wasahau kama watayafanyia kazi.

Kadai kuna vyama vya siasa vinatoa mawazo kimaslahi ya vyama, nao wasahau kwani Katiba ni ya Watanzania na si ya kichama!

Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Mpya, Jaji Warioba amewajia juu wanasiasa hasa wanaowaambia wafuasi wao waseme nini na mawazo mengine yanatolewa majukwaani kwa utashi wa kisiasa kwamba hawatayajumuisha na wasahau kama watayafanyia kazi.

Kadai kuna vyama vya siasa vinatoa mawazo kimaslahi ya vyama, nao wasahau kwani Katiba ni ya Watanzania na si ya kichama!

Zaidi soma ==> http://bit.ly/15bhLLr
Katiba Mpya

No comments:

Post a Comment