Saturday, 17 August 2013

MAMA WA KITANZANIA ANG'AAAAAA SADC

 
 
 
 
MTANZANIA ACHAGULIWA KATIBU
 MTENDAJI SADC
 
 
 

MTANZANIA ACHAGULIWA KATIBU MTENDAJI SADC

Dr. Stergomena Tax, ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afrika Mashariki, amechaguliwa kuwa Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) katika uchaguzi uliofanyika jana jijini Lilongwe Malawi katika mkutano wa Jumuiya hiyo.

Ktika uchaguzi huo, Dr. Tax ambaye anakuwa mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo, alipata asilimia 79 ya kura zote na kumshinda mpinzani wake Bwana Peter Sinon ambaye ni Waziri wa Uwekezaji, Rasilimali na Viwanda wa Shelisheli. Hapo awali wadhifa huo ulikuwa unashikiliwa na Dk. Tomaz Saloma wa Msumbiji ambaye alishinka nafasi hiyo kwa miaka minane, ambayo ni vipindi viwili mfululizo.
Dr. Stergomena Tax, ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afrika Mashariki, amechaguliwa kuwa Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) katika uchaguzi uliofanyika jana jijini Lilongwe Malawi katika mkutano wa Jumuiya hiyo.

Ktika uchaguzi huo, Dr. Tax ambaye anakuwa mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo, alipata asilimia 79 ya kura zote na kumshinda mpinzani wake Bwana Peter Sinon ambaye ni Waziri wa Uwekezaji, Rasilimali na Viwanda wa Shelisheli. Hapo awali wadhifa huo ulikuwa unashikiliwa na Dk. Tomaz Saloma wa Msumbiji ambaye alishinka nafasi hiyo kwa miaka minane, ambayo ni vipindi viwili mfululizo.

No comments:

Post a Comment