Tuesday, 6 August 2013

uchaguzi zimbabwe

  
BARAGUMU LA MNYONGE
Habari za leo mashabiki..........natumai hamjambo. Wikendi ilikwendaje? 

Hii leo tunaamkia habari za chama cha MDC chake Morgan Tsvangirai kupinga ushindi wa Rais Robert Mugabe Zimbabwe , kikisema kuwa kitakwenda mahakamani kwa hilo....unadhani mahakama inaweza kutoa uamuzi gani wakati Muungano wa Afrika ulisema kuwa uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? mbali na hayo vipi huko mliko? nini cha mno Dar, Kinshasa, Kampala, Kigali, Bujumbura , Nairobi.......Hii leo tunaamkia habari za chama cha MDC chake Morgan Tsvangirai kupinga ushindi wa Rais Robert Mugabe Zimbabwe , kikisema kuwa kitakwenda mahakamani kwa hilo....unadhani mahakama inaweza kutoa uamuzi gani wakati Muungano wa Afrika ulisema kuwa uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? mbali na hayo vipi huko mliko? nini cha mno Dar, Kinshasa, Kampala, Kigali, Bujumbura , Nairobi.......

No comments:

Post a Comment