Saturday, 24 August 2013

VIJANA WAKATOLIKI TANZANIA

 
 
 
 
 
 
 
 
Mhashamu baba Askofu Telesphor Mkude wa jimbo katoliki Morogoro akiwa na wakarismatiki wa jimbon mwake anaonekana hapo akiendesha ibada ya misa takatifu ya uponyaji na kufunguliwa ktk kituo cha Karismatiki katoliki jimbo la Morogoro (Jumamosi 17/08/2013).  Azungumzia namna  karismatiki inavyolisaidia kanisa hasa ktk swala zima la Utoaji na kujitoa.  (Picha na Ev. Aston Ben)Mhashamu baba Askofu Telesphor Mkude wa jimbo katoliki Morogoro akiwa na wakarismatiki wa jimbon mwake anaonekana hapo akiendesha ibada ya misa takatifu ya uponyaji na kufunguliwa ktk kituo cha Karismatiki katoliki jimbo la Morogoro (Jumamosi 17/08/2013). Azungumzia namna karismatiki inavyolisaidia kanisa hasa ktk swala zima la Utoaji na kujitoa. (Picha na Ev. Aston Ben)
 
 
 

No comments:

Post a Comment