TUONGEE TUELEWANE...
 |
| TUONGEE TUELEWANE... |
Ninaamini
watanzania watafaidika zaidi na matumizi mazuri ya mawasiliano.
Ninaamini pia matumizi mabaya ya mawasiliano, ikiwemo mitandao ya
kijamii sio tija. Tutumie mawasiliano vizuri. Tutumie mitandao ya
kijamii kwa maendeleo. Ukipokea ujumbe wa chuki, matusi, uchochezi,
udhalilishaji wa mwanamke, mtoto au mwanaume,
FUTA DELETE KABISA.
au
ignore/puuzia,
usisambaze kwa wengine.
Tushiriki majadiliano
kwa nia njema, tusitukanane, tujibizane hoja kwa hoja, matusi sio sehemu
ya hoja. Admin tusimamie vizuri majadiliano ili kuboresha matumizi
mazuri. Tusiingilie uhuru wa watu kujieleza, tuutumie uhuru kutoa maoni
yetu kwa uhuru tukizingatia uhuru wetu unakutana na uhuru wa wajihi wa
wengine!
No comments:
Post a Comment